CA yazuiwa kuzima matangazo ya moja kwa moja
About this video
Mahakama kuu imeongeza muda wa utekelezaji wa agizo lililoizuia halmashauri ya mawasiliano nchinI CAK kuzima mawimbi ya vituo vya redio na Televisheni wakati wa maandamano. Jaji Chache Mwita ameongeza muda wa utekelezaji wa agizo hili akiagiza kujumlishwa kwa kesi ya Chama cha ma..