Back to home

Uchunguzi wafanywa kuhusu kuchomwa kwa kituo cha polisi cha Mawego

video
July 4, 2025
8 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Idara ya polisi inafanya tathmini kuhusu tukio la Alhamisi ambapo kituo cha polisi cha mawego huko homa bay kiliteketezwa. Afisa mmoja wa ngazi ya juu ya idara hiyo ameiambia runinga ya Citizen kuwa uamuzi wa kujenga upya kituo hicho utafanywa kwa mashauriano na wakazi wa eneo hi..