Back to home

Albert Ojwang azikwa nyumbani kwao Homa Bay

video
July 4, 2025
15 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Viongozi kutoka Nyanza wamekemea wahuni ambao wamehusika katika kuvuruga maandamano ya amani ya kizazi cha Gen Z hapa nchini. Wakizungumza huko Homa Bay wakati wa mazishi ya mwalimu na Mwanablogu Albert Ojwan'g, viongozi hao wamewataka Gen Z kutokubali ajenda yao kuingiliwa na wa..