Back to home
Watunishaji misuli 120 kushiriki Bwana na Bi Magharibi kesho Kisumu
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 4, 2025
1y ago
Zaidi ya Watunishaji misuli 120 wanatarajiwa kushiriki mashindano ya mwaka huu ya Bwana na Bi Magharibi ambayo yatafanyika hapo kesho katika ukumbi wa Fitness Summit Gym katika kaunti ya Kisumu.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told
Advertisement
Advertisement



