Back to homeWatch Original
Watangazaji wa Radio Citizen wajumuika na waumini wa kanisa la Jetview SDA
video
July 5, 2025
about 11 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Katika juhudi za kushirikiana najamii, Kikosi cha Radio Citizen kilijumuika na waumini katika Kanisa la Jetview SDA mtaani Utawala, jijini Nairobi ambapo watangazaji walitoa shukrani zao kwa mashabiki wa stesheni hiyo ya redio inayomilikiwa na kampuni ya Royal media services. Ai..