Back to home
Watangazaji wa Radio Citizen wajumuika na waumini wa kanisa la Jetview SDA
video
C
Citizen TV (Youtube)July 5, 2025
8mo ago
Katika juhudi za kushirikiana najamii, Kikosi cha Radio Citizen kilijumuika na waumini katika Kanisa la Jetview SDA mtaani Utawala, jijini Nairobi ambapo watangazaji walitoa shukrani zao kwa mashabiki wa stesheni hiyo ya redio inayomilikiwa na kampuni ya Royal media services.
Ai
Advertisement
Advertisement




