Back to home
Mbunge wa Manyatta Gitonga Mukunji afikishwa mahakamani kwa madai ya uchochezi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 8, 2025
1y ago
Mbunge wa Manyatta Gitonga Mukunji amefikishwa mahakamani kwa madai ya uchochezi wa kusababisha vurugu wakati wa maandamano ya saba saba. Mbunge huyo alifikishwa katika mahakama ya kahawa ambapo upande wa mashataka umemhusisha na vitendo vya kigaidi. Aidha washukiwa wengine walio
Advertisement
Advertisement




