Back to home

Wafanyibiashara Nairobi na Nakuru wakadiria hasara baada ya maduka yao kuporwa baada maandamano

video
July 8, 2025
about 8 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wafanyibiashara kadhaa katika kaunti ya Nairobi na Nakuru wanakadiria hasara ya mamilioni ya pesa baada ya maduka yao kuporwa na magari kuteketezwa wakati wa maandamano ya saba saba. Aidha, baadhi ya wachuuzi na wenye magari ya usafiri wa umma wanasema kusitishwa kwa shughuli za ..