Back to home

Kapenguria: Mwili wa mtoto mmoja wapatikana umetupwa kwenye shamba la mahindi

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 8, 2025
5mo ago
Mwili wa mtoto mmoja wapatikana umetupwa kwenye shamba la mahindi eneo la Bendera mjini Kapenguria huku hali ya wasiwasi ikiendelea kushamiri katika eneo hilo kwa ongezeko la visa vya uteka nyara Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as tol
Advertisement