Back to home

Kenya, Uganda na Tanzania kuzindua cheti maalum cha usafiri kitakacho tumika katika CHAN

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 9, 2025
11mo ago
Waziri wa Michezo Salim Mvurya amefichua kuwa mataifa ya Kenya, Uganda na Tanzania wamekamilisha mpango wa kuzindua cheti maalum cha usafiri kitakachotumika katika mashindano yajayo ya CHAN Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by K
Advertisement