Back to home

Kenya, Uganda na Tanzania kuzindua cheti maalum cha usafiri kitakacho tumika katika CHAN

video
July 9, 2025
about 20 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Waziri wa Michezo Salim Mvurya amefichua kuwa mataifa ya Kenya, Uganda na Tanzania wamekamilisha mpango wa kuzindua cheti maalum cha usafiri kitakachotumika katika mashindano yajayo ya CHAN Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by K..