Back to home

Mvutano wa kisheria unaendelea katika mahakama ya kahawa

video
July 10, 2025
1 day ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Katika kesi ya madai ya ugaidi katika mahakama ya kahawa , mvutano wa kisheria unaendelea kushika kasi huku upande wa mashtaka ukishinikiza John Mukunji mbunge wa eneo bunge la manyatta na washukiwa wengine wawili kuzuiliwa kwa siku 14, wakionya kuwa huenda wakahujumu uchunguzi..