Back to home

Bikizee abeba mboga za Sh250 shuleni kukamilisha karo ya zaidi ya shilingi laki moja ya mjukuu wake

video
July 10, 2025
6 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Walimu katika Shule ya Upili ya Mseto ya Sigiria, iliyoko Rongo, Kaunti ya Migori, walipigwa na butwaa leo baada ya bikizee wa umri wa miaka 70 kufika langoni mwa shule hiyo akiwa amebeba kikapu kidogo kilichojaa mboga za kienyeji, zenye thamani ya shilingi 250. Subscribe and wa..