Back to home

Kakan Maiyo kushtakiwa kwa kukosoa serikali atarajiwa kortini Ijumaa

video
July 10, 2025
6 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Maafisa wa polisi wanaendelea kumzuilia mfanyabiashara Godfrey Kakan Maiyo katika kituo cha polisi cha Muthaiga baada ya kukamatwa na maafisa wa DCI jijini Nairobi. Hadi sasa, Maiyo aliyekamatwa kwenye duka lake hajafikishwa mahakamani na hajui mashtaka yanayomkabili. Familia yak..