Back to home

Tabaita, Kericho: wakazi wataka eneo jipya la utawala

video
July 10, 2025
6 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakazi wa eneo la Tabaita katika tarafa ndogo ya Sigowet/Soin wametoa wito kwa serikali kuharakisha uundwaji wa eneo jipya la utawala pamoja na vitongoji kadhaa ili kuboresha utoaji wa huduma za serikali. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyd..

Tabaita, Kericho: wakazi wataka eneo jipya la utawala (Video)