Back to home
Kakamega: Wasichana wawili wauguza majeraha makali kichwani baada ya kuvamiwa
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 10, 2025
11mo ago
Wasichana wawili ambao ni dada akiwemo mwanafunzi wa kidato cha tatu kutoka kijiji cha Etenje eneo Bunge la Mumias Mashariki Kaunti na kakamega Wanauguza majeraha makali kichwani baada ya mwanaume mmoja kuwashambulia wakienda haja nyumbani kwao usiku.
Subscribe and watch NTV Ken
Advertisement
Advertisement





