Back to home

Kakamega: Wasichana wawili wauguza majeraha makali kichwani baada ya kuvamiwa

video
July 10, 2025
1 day ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wasichana wawili ambao ni dada akiwemo mwanafunzi wa kidato cha tatu kutoka kijiji cha Etenje eneo Bunge la Mumias Mashariki Kaunti na kakamega Wanauguza majeraha makali kichwani baada ya mwanaume mmoja kuwashambulia wakienda haja nyumbani kwao usiku. Subscribe and watch NTV Ken..