Back to home
Mwenyekiti wa kandanda Mombasa Alamin Abdallah aanza kukuza vipaji mashinani
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 10, 2025
11mo ago
Mwenyekiti wa shirikisho la kandanda humu nchini katika kaunti ya Mombasa Alamin Ahmed Abdallah tayari ameanza kukuza vipaji mashinani miezi saba tu tangu kushinda uchaguzi mkuu uliopita.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Ken
Advertisement
Advertisement




