Back to home

Nangili: Wanafunzi kutoka shule 20 wajumuika kuonyesha mila na tamaduni mbalimbali

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 10, 2025
1y ago
Kulikuwa na tamasha iliyohusisha zaidi ya shule ishirini katika Shule ya Upili ya Moi Girls Nangili ambapo wanafunzi walionyesha mila na tamaduni mbalimbali pamoja na kusakata densi na vipaji tofauti tofauti. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and ev
Advertisement