Back to home

Hospitali ya Kapkatet inawasaka jamaa zake kijana wa miaka 17

video
July 11, 2025
about 20 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Hospitali ya Kapkatet katika eneobunge la Bureti imetoa wito kwa umma kuisaidia kuwatambua au kuwatafuta jamaa za mvulana mwenye umri wa miaka 17 ambaye amekuwa akipokea matibabu hospitalini humo kwa takriban miezi tisa..