Back to home
Hospitali ya Kapkatet inawasaka jamaa zake kijana wa miaka 17
video
C
Citizen TV (Youtube)July 11, 2025
1y ago
Hospitali ya Kapkatet katika eneobunge la Bureti imetoa wito kwa umma kuisaidia kuwatambua au kuwatafuta jamaa za mvulana mwenye umri wa miaka 17 ambaye amekuwa akipokea matibabu hospitalini humo kwa takriban miezi tisa
Advertisement
Advertisement





