Back to home
Wazazi kutoka Kaunti ya Narok wahimizwa kuwapeleka watoto kwa chanjo
video
C
Citizen TV (Youtube)July 11, 2025
10mo ago
Serikali kuu imehimiza wakaazi hasa wazazi wanaoishi na watoto wadogo maeneo ya Narok Kaskazini na Kusini kuhakikisha wanapata chanjo dhidi ya magonjwa ya Surua,Homa ya Matumbo na Ukambi
Advertisement
Advertisement





