Back to home

Baadhi ya viongozi wa kisiasa sasa waanza matamshi ya uchochezi kwa jamii

video
July 11, 2025
about 15 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Baadhi ya viongozi wa kisiasa sasa wameanza matamshi yanayoonekana kuchochezi jamii, haswa kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Katika kaunti ya Trans Nzoia, spika wa bunge Moses Wetangula alizungumzia haja ya jamii moja kumsaidia rais Ruto dhidi ya wapinzani wake. Na Katika akunt..