Wataalam: Wakenya muwe macho kuhusu sajili japo elektroniki
About this video
Kulingana na mwanasheria Charles Kanjama, baadhi ya sheria na maamuzi ya mahakama, yanahakikisha uhakiki wa sajili ya wapiga kura, japo ni lazima wananchi waendelee kuwa macho kuzuia mbinu za ulaghai. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday a..