Back to home

Biwi la simanzi limetanda eneo la Nyansiongo

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 12, 2025
4mo ago
Biwi la simanzi limetanda katika eneo la Nyansiongo kaunti ya Nyamira huku familia kadhaa huko Borabu zikiomboleza baada ya watu 8 kuaga dunia katika ajali iliyotokea eneo la Kijauri jana jioni. zaidi ya watu 15 wanaendelea kutibiwa katika hospitali kadhaa huko Nyamira na Kisii.
Advertisement