Back to home

Biwi la simanzi limetanda eneo la Nyansiongo

video
July 12, 2025
about 7 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Biwi la simanzi limetanda katika eneo la Nyansiongo kaunti ya Nyamira huku familia kadhaa huko Borabu zikiomboleza baada ya watu 8 kuaga dunia katika ajali iliyotokea eneo la Kijauri jana jioni. zaidi ya watu 15 wanaendelea kutibiwa katika hospitali kadhaa huko Nyamira na Kisii...