Back to home

Umma wahamasishwa kuhusu ugonjwa wa kisukari

video
July 12, 2025
about 7 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Matembezi ya kuhamasisha umma kuhusu ugonjwa wa kisukari yalifanyika jijini Nairobi kwa lengo la kuchangisha fedha na kuwasaidia watoto wanaoishi na aina ya kwanza ya ugonjwa wa kisukari. Matembezi hayo yaliyodhaminiwa na Citizen Digital kwa ushirikiano na wadau wengine, yaliwash..