Back to homeWatch Original
Kindiki akosoa upinzani kuhusiani na IEBC
video
July 12, 2025
1 day ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Naibu rais Kithure Kindiki amekosoa viongozi wa upinzani kuhusiani na madai kuwa Rais William Ruto ndiye aliyeteua makamishna wa IEBC kwa nia ya kuhitilifiana na maamuzi ya wakenya kwenye uchaguzi wa mwaka 2027. Kindiki amepuuzilia mbali madai hayo akitaka upinzani kujiandaa kwa ..