Back to homeWatch Original
Wakazi wa kijauri watoa makataa kwa KENHA kuhusu ajali
video
July 14, 2025
3 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wakazi na wafanyabiashara katika eneo la Kijauri huko Borabu, kaunti ya Nyamira, wametoa makataa ya wiki moja kwa mamlaka ya barabara nchini KENHA kuweka matuta katika sehemu hiyo ya barabara kuu ya Kisii-Nairobi, ili kudhibiti ajali za mara kwa mara katika eneo hilo..