Back to home

NACADA yapendekeza kuongezwa kwa umri wa matumizi ya vileo

video
July 14, 2025
3 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakenya wenye umri chini ya miaka 21 huenda wakakamatwa na kushtakiwa kwa kosa la kunywa pombe mara tu mpango uliopo sera ya taifa ya mwaka 2025 kuhusu pombe, dawa za kulevya na vileo utatekelezwa. Sera hiyo iliyoidhinishwa na baraza la mawaziri pia inataka serikali ipige marufuk..