Back to home

Kinara wa DCP apinga hoja ya Raila ya mazungumzo

video
July 14, 2025
about 11 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua amepinga mapendekezo ya kuanzishwa kwa mazungumzo mengine ya kitaifa, akisema serikali inafaa tu kutekeleza ripoti za awali za mazungumzo kabla ya kuanzisha mchakato mwingine. Akizungumza alipohudhuria ibada katika jimbo la Seattle nchini Mar..