Back to home

Mighty Eagles waelekea Denmark

video
July 15, 2025
2 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Timu ya soka ya Mighty Eagles kutoka mtaa wa mabanda wa Shimo la Tewa, kaunti yaTrans Nzoia, imepata nafasi ya kihistoria kushiriki michuano ya Dana Cup nchini Denmark baada ya kupata ufadhili wa shilingi milioni mbili kutoka kwa msaidizi wa rais, Faruk Kibet..