Back to home

Msafara wa MPESA waendelea kwa siku ya pili eneo la Rift Valley

video
July 15, 2025
2 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Msafara wa Mpesa Sokoni umeingia siku yake ya pili leo katika Bonde la Ufa kwa kuzuru kaunti za Uasin Gishu, Trans Nzoia na West Pokot. Kampuni ya Safaricom imeshirikiana na vituo vya Royal Media Services vya Radio Citizen na Chamgei fm kueneza ujumbe wa MPESA mashinani kama njia..