Back to home

Kenya miongoni mwa mataifa 9 yatakayo anza kutumia sindano mpya ya HIV

video
July 15, 2025
about 17 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakenya walio kwenye hatari ya kuambukizwa virusi vya HIV huenda wakaanza kupokea shindano mpya ya kudhibiti maambukizi kufikia januari mwakani. Hii ni baada ya shirika la afya ulimwenguni W.H.O kuidhinisha sindano hiyo mpya ambapo kenya ni kati ya mataifa 9 yatakayoanza kuitumia..