Back to home

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini HELB haiwezi kutoa tena ufadhili

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 15, 2025
3mo ago
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini HELB sasa inasema haina pesa wala uwezo wa kuwapa mikopo wanafunzi wapya. Aidha, HELB inasema kuwa zaidi ya wanafunzi laki nne wanatarajiwa kuachwa bila ufadhili mwaka huu. Mkurugenzi wa bodi hii Geoffrey Monari ameiambia kamati ya bunge kuhu

More on this topic

Challenges Faced by Higher Education Funding in Kenya

HELB reports financial difficulties affecting 450,000 learners, with a funding shortage of Ksh. 13.7B.

3 stories in this topic
View Full Coverage