Back to home

Meru: Bwana na bi Festus washeherekea maadhimisho ya miaka 65 pamoja kwa ndoa

video
July 15, 2025
1 day ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Baada ya kufunga ndoa na kuishi pamoja tangu mwaka wa 1960, bwana na bi Festus hatimaye walisheherekea Maadhimisho ya miaka 65 katika kanisa la katoleki la Irimbene huko Imenti Kusini. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyan..

Meru: Bwana na bi Festus washeherekea maadhimisho ya miaka 65 pamoja kwa ndoa (Video)