Back to home

Kakamega: zaidi ya wakazi na wafanyabiashara wa soko la Ikolomani wanufaika kwa kupata maji safi

video
July 15, 2025
about 9 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Ni afueni kwa zaidi ya wakazi elfu tano kutoka vijiji vinne, wakiwemo wale wafanyabiashara wa soko la Ikolomani, kaunti ya Kakamega, baada ya serikali kuu kuchimba maji kwenye soko hilo. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Keny..

Kakamega: zaidi ya wakazi na wafanyabiashara wa soko la Ikolomani wanufaika kwa kupata maji safi (Video)