Machakos: Watu walio na ulemavu wataka serikali ya kaunti hiyo kutekeleza sheria ya walemavu
About this video
Watu walio na ulemavu kaunti ya Machakos sasa wanataka serikali ya kaunti hiyo kutekeleza kipengee cha sheria cha walemavu yaani Disability Act ili kuwaruhusu kupata baadhi ya huduma za kaunti. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told ..