Back to home

Mahakama yaipa kaunti ya Nairobi idhini ya kuzika miili

video
July 16, 2025
about 14 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Serikali ya kaunti ya Nairobi inanuia kuzika miili yote ambayo haijatambuliwa katika makaburi ya langata wiki hii. Miili 240 ambayo sasa mahakama imeipa kaunti ya nairobi idhini ya kuizika inafanyiwa upasuaji na idara ya dci kuchukua sampuli za dna na kuzihifadhi..

Mahakama yaipa kaunti ya Nairobi idhini ya kuzika miili (Video)