Back to home

Familia za waathiriwa wa maandamano kwenye njia panda

video
July 16, 2025
about 5 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Msururu wa maandamano nchini umeacha majonzi makubwa, na kusababisha vifo vya Wakenya, wengi wao wakiwa wanatoka familia masikini. Kwa familia hizi zilizofiwa, uchungu wa kupoteza wapendwa wao umeongezewa mzigo mkubwa wa kifedha wa kuwazika...