Back to home
Familia za waathiriwa wa maandamano kwenye njia panda
video
C
Citizen TV (Youtube)July 16, 2025
4mo ago
Msururu wa maandamano nchini umeacha majonzi makubwa, na kusababisha vifo vya Wakenya, wengi wao wakiwa wanatoka familia masikini. Kwa familia hizi zilizofiwa, uchungu wa kupoteza wapendwa wao umeongezewa mzigo mkubwa wa kifedha wa kuwazika.
Advertisement




