Polisi anayeshukiwa kumuua Rex Maasai akanusha yote
About this video
Isaiah Murangiri Ndumba, afisa wa polisi ambaye ni mshukiwa mkuu katika mauaji ya Rez Masai aliyepigwa risasi na kuwawa wakati wa maandamano ya mwaka uliopita, amekana kuwepo jijini Nairobi wakati wa maandamano hayo. Hii ni licha ya kanda za video zilizochezwa mahakamani kuonyesh..