Back to home

Kocha wa Harambee Stars Bennis McCarthy aendelea kunoa wachezaji wake kwa kipute cha CHAN 2024

video
July 16, 2025
about 5 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kocha wa Harambee Stars Bennis McCarthy amefichua kuwa alikuwa na hamu ya kumwita nyota wa Rising Stars Aldrine Kibet kabla mshambulizi huyo kujiunga na timu ya pili ya Celta Vigo. McCarthy anaendelea kunoa timu yake kwa kipute cha CHAN 2024 kitakachong'oa nanga tarehe mbili mwez..