Back to home

Zaidi ya shule 10 katika eneo la Lari, kaunti ya Kiambu zifungwa baada ya wanafunzi kugoma

video
July 16, 2025
about 6 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Zaidi ya shule 10 katika eneo la Lari, kaunti ya Kiambu zimefungwa baada ya wanafunzi kugoma. Kulingana na maafisa kutoka Wizara ya Elimu, wengi wao walitaka tu kurudi nyumbani bila sababu za kimsingi za kuzuia rabsha shuleni. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan..