Back to home

Mama mmoja na wanawe 5 wateketezwa katika moto uliofahamika kuanzishwa kama kisasi cha penzi hatari

video
July 16, 2025
1 day ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Biwi la simanzi limetanda katika eneo la Bulapesa, kaunti ya Isiolo, baada ya familia moja ya watu watano kuteketea katika moto mkubwa uliofahamika kuanzishwa kama kisasi cha penzi hatari. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Ke..