Back to home

Polisi anayeshukiwa kumuua Rex akanusha yote

video
July 17, 2025
about 17 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Isaiah Murangiri Ndumba, afisa wa polisi ambaye ni mshukiwa mkuu katika mauaji ya Rez Masai aliyepigwa risasi na kuwawa wakati wa maandamano ya mwaka uliopita, amekana kuwepo jijini Nairobi wakati wa maandamano hayo..