Back to home

Tana River: Vijana wa jamii ya Watta wahitajika kuua simba au chui ile kupata mke

video
July 17, 2025
about 6 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Katika kitongoji kidogo cha Watta Hamesa, eneo bunge la Galole, Kaunti ya Tana River, utakutana na jamii ya Watta, ambao awali walijulikana kama Wasanye, wakijizatiti kuhifadhi mila zao za kipekee katikati ya mawimbi ya kisasa. Ingawa baadhi ya desturi kama ukeketaji wameziacha, ..