Back to home

Bomet: Mahakama kuu yatoa mwelekeo mpya kuhusu kesi ya kifo cha mtoto wa umri 3, Diana Chepngeno

video
July 17, 2025
about 6 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mahakama kuu mjini Bomet imeielekeza timu ya utetezi katika kesi inayohusisha Hospitali ya Rufaa ya Kaunti ya Longisa, ambayo inashtakiwa kwa tuhuma za uzembe wa kimatibabu uliosababisha kifo cha mtoto wa umri wa miaka mitatu, Diana Chepngeno, kuwasilisha nyaraka zozote za nyonge..