Back to home

Maafisa wa DCI wamkamata Mbunge wa Naivasha Jayne kihara

video
July 18, 2025
about 9 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kizaazaa kilishuhudiwa nyumbani kwa Mbunge wa Naivasha Jayne Kihara hapo jana, maafisa wa DCI walipomkamata. Maafisa hao walizingira nyumba ya mbunge huyo na kumfanya kukatiza mkutano kati yake na wafuasi wake..