Back to home

Tishio la lugha ya Kiswahili

video
July 22, 2025
about 9 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Taasisi za elimu nchini zimehimizwa kuendelea kukuza lugha ya Kiswahili ili kuimarisha matumizi yake. Walimu wa Kiswahili ambao walikuwa wakizungumza kwenye mashindano ya Lugha yaliyoandaliwa mjini Kitengela, wameeleza wasi wasi wao kuhusu kuendelea kudidimia kwa lugha ya Kiswahi..