Back to homeWatch Original
Gachagua asema amechanganyikiwa na ameshindwa na Kazi
video
July 23, 2025
2 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua amepuuzilia mbali matamshi ya Rais William ruto ambaye anawalaumu wazazi, makanisa, mashirika ya kijamii na wanasiasa kwa kuchochea maandamano ya kupinga serikali. Gachagua anadai kuwa Rais Ruto amechanganyikiwa kuhusu yanayoendelea nchini. A..