Back to home

Maradhi ya ngozi yaathiri wakazi wengi wa kaunti ya Busia

video
July 25, 2025
2w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kaunti ya Busia ni miongoni mwa kaunti zinakumbwa na visa vingi vya magonjwa ya ngozi japo hayazungumziw. Utafiti unaonesha kuwa watoto wanne kati ya kumi wanaozaliwa katika kaunti hiyo wanakabiliwa na ugonjwa wa ukurutu wa ngozi kwa kiingereza eczema..