Back to home

Viongozi wa Kenya Kwanza wataka wakenya kushikamana

video
July 25, 2025
1d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Viongozi wanaoegemea serikali wameendelea na wito wa umoja kwa wakenya, huku wakiapa kuwa pande zote za nchi zitapata maendeleo bila ubaguzi. Akizungumza katika hafla ya michango katika kaunti za Murang’a na Kisumu hii leo, Naibu Rais Kithure Kindiki aliwarai wakenya kususia si..