Back to homeWatch Original
Wanafunzi 210 wenye ulemavu wapewa baiskeli Oloililai
video
July 29, 2025
4d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wanafunzi 300 miongoni mwao 210 wenye ulemavu kutoka shule kumi katika kaunti ndogo ya Oloililai, kaunti ya Kajiado wamenufaika na msaada wa baiskeli za kuwarahizishia usafiri kufika shuleni..