Back to home

Stephen Munyakho arejea nyumbani baada ya miaka 10 gerezani Saudi Arabia

video
July 29, 2025
3d ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Stephen Munyakho, mkenya ambaye alitumikia kifungo cha zaidi ya muongo mmoja gerezani Saudi Arabia, huku akisubiri kunyongwa baada ya kuua mwezake kazini bila kukusudia, amerejea nchini alfajiri ya leo. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday..

Stephen Munyakho arejea nyumbani baada ya miaka 10 gerezani Saudi Arabia (Video)