Back to homeWatch Original
Wanafunzi wa vyuo vikuu kunufaika na punguzo la karo kuanzia Septemba
video
July 31, 2025
3d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wanafunzi wanaosomea mafunzo ya udaktari na Usanifu Ujenzi ni miongoni mwa wale watakaoanza kulipa karo ya chini kuanzia mwezi septemba mwaka huu. Hii ni baada ya wizara ya Elimu kutangaza kupunguzwa kwa karo ya vyuo vikuu kwa baadhi ya kozi kufuatia mapendekezo yaliyotolewa na k..